MKUU WA MKOA WA MOROGORO APATA AJALI

Usiku wa kuamkia leo Jumatano Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Steven Kebwe amepata ajali katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi baada ya gari lake kugonga nyati na kuharibika vibaya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Urlich Matei amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa taarifa kamili ataitoa mara baada ya uchunguzi kukamilika. Ndani ya gari hilo mbali na kuwepo mkuu wa mkoa pia aliambatana na mlinzi wake ambao wote kwa pamoja walitoka salama.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA ZA KUFUATA RATIBA YA CHAKULA KWA AFYA BORA

BIBI WA MIAKA 73 AOMBA TALAKA

NJOMBE KUONGOZA KWA IDADI YA WATU WANAOISHI NA UKIMWI